Mitindo

Gauni la Rihanna lazua gumzo

Tumezoe kumuao mwanamuziki Rihanna katika mavazi kubwa kubwa na wakati mwingine tukadhani kuwa ni mama kijacho, kumbe si kweli bali ni aina yake ya uvaaji.

Kudhihirisha kuwa yeye ni mtu wa mitindo, wikendi iliyopita ameishangaza dunia katika uzinduzi wa filamu ya Valerian,uliyofanyika nchini Uingereza kwa kuvaa gauni kubwa na lenye kuonyesha mabega yake huku likiwa lenye rangi nyekundu ya kuvutia ,Ila sio tu ukubwa wa gauni bali hata muonekano wake na jinsi alivyopendeza ndio kulikoifanya ulimwengu wa mitindo kuongea.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents