Michezo
Goli la Feisal Salum lilivyomuinua Alikiba kwa Mkapa (+Video)
Msanii wa Bongo Fleva @officialalikiba ameinuka kwa shangwe zote na kuanza kushangilia goli kali lililofungwa na nyota wa Tanzania, Feisal Salum akiisawazishia #taifastars dhidi ya Tunisia.
Kwa namna @officialalikiba na baadhi ya mashabiki wengine wa Stars walivyoamsha shangwe baada ya goli hilo kali la Faisal Salum ni kama hawakuamini mpira umeingia golini.
Dakika 90 #TaifaStars 1 – 1 Tunisia
#AFCON2121