Habari

Gucci Mane awaomba msamaha wote aliowatukana twitter akiwemo Nicki Minaj, aliyesema alimlipa kulala naye

Baada ya kuanzisha drama kupitia twitter (September 9) kwa kudai alimlipa Nicki Minaj ili alale naye, na kuwatukana rappers wengine akiwemo Drake na Ross, hatimaye akili zimemrudia rapper Gucci ambaye amewaomba msamaha wote waliohusishwa na ‘drama’ yake.

gucci

Rapper huyo mwenye miaka 33 kupitia twitter September 23 alianza kuomba misamaha kwa mfululizo wa tweets zilizopishana kwa dakika moja moja akielezea yale yaliyomsibu mpaka kufanya alichokifanya.

Hizi ndio tweets za Gucci Mane za kuomba misamaha:

9:04 a.m. – Woke up the other day out this hospital bed & I’m so embarrassed & ashamed of my behavior that was brought to my attention.

9:05 a.m. – I just wanna man up right now & take this time to apologize to my family, friends, the industry & most of all my fans. I’m SORRY!

9:06 a.m. – I’ve been drinking lean for 10plus years & I must admit it has destroyed me. I wanna be the first rapper to admit.

9:08 a.m. – I’m addicted to lean & that shit ain’t no joke. I can barely remember all the things I’ve done & said. However there’s no excuse.

9:10 a.m. – I’m currently incarcerated but I will be going to rehab because I need help. I wanna thank everyone that has stood by me

9:11 a.m. – during this difficult time. Please keep me in your prayers. #GUWOP

9:31 a.m. – I wanna personally apologize to birdman ross & drake. Dem my n****s. I 100% regret my words & actions .

9:59 a.m. – Wrote sum new hard s**t can’t wait to get out dis hell hole so y’all can hear dis s**t.

10:04 a.m. – Keyshia Dior Kaoir I’m sorry. Please forgive me.

Katika Tweet za awali Gucci alijigamba kuwa amewahi kulala na Nicki Minaj, baby mama wa Tyga, Blac Chyna, na Keyshia Cole.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents