Michezo
Hii ndo Droo ya nusu fainali ya Champions League
Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeshapagwa na hivi ndivyo inavyoonekana shughuli itakuwa pevu.
Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 26 na 27, mwaka huu kisha kurudiana Mei 3 na 4 ikiwa ni katika mchakato wa kuelekea kwenye fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa San Siro jijini Milan nchini Italia mnamo Mei 28, mwaka huu.