Michezo
Hiki ndicho kikosi cha Yanga Vs Majimaji FC
Ikiwa Ligi Kuu soka Tanzania Bara inatarajia kuendelea kutimua vumbi katika viunga mbalimbali hapa nchini kwa mashabiki kushuhudia michezo mitano kupigwa kwa mujibu wa ratiba ya VPL.
Huko Songea katika Uwanja wa Majimaji kumekucha wapenzi wa kabumbu wamejitokeza katika kununua tiketi ya kwenda kushuhdia mtanange wa Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya Young Africans inayotarajiwa kucheza na mwenyeji wake timu ya Majimaji katika Uwanja huo.
Tayari kikosi cha Yanga kimesha hanikwa hadharani kitakacho wakabili wana Majimaji FC