Michezo

Kiungo wa Liverpool akaribia kutua ligi ya Italia

Kiungo wa klabu ya soka Liverpool ya Uingereza, Lucas Pezzini Leiva ameonekana kukaribia kutua katika ligi ya Italia.

Mapema leo kiungo huyo amefanyiwa vipimo katika klabu ya Lazio ambayo inashiriki ligi kuu ya nchini humo.


Lucas Leiva akifanyiwa vipimo mapema leo

Lucas ameichezea Liverpool takribani mechi 247 kwa kipindi cha misimu 10 tangu aliposajiliwa mwaka 2017 akitokea Gremio a Brazil.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents