Michezo

Magoli yote ya Yanga vs Kagera Sugar 0 – 3 uwanja wa Uhuru ligi kuu (+Video)

Mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu soka Tanzania Bara Young Africans hapo jana wakiwa katika uwanja wa nyumbani walijikuta wakipokea kipigo mujarabu cha magoli 3 – 0 mbele ya kocha wao mpya Mbelgiji, Luc Eymael kutoka kwa Kagera Sugar mchezo wa ligi kuu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents