Siasa
Magufuli ashinda kwa asilimia 100 kugombea Urais kupitia CCM 2020 (+Video)
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa @ccm_tanzaniaTaifa, wamempitisha@MagufuliJP kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kwa kura 1822 ambayo ndio idadi ya wajumbe waliohudhuria na ni asilimia 100 ya kura zote.