Siasa

Magufuli: Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu tu (+Video)

“Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu, Mbunge wenu Lusinde ni Kijana mzuri anafanya kazi nzuri, ndio maana ni Mjumbe wa NEC,niliahidi Barabara ya lami KM 16 kutoka Mlowa hadi Mvumi, RC njoo nikuagize tumalizane hapahapa,zege halilali”

“Niliahidi Km. 16 za kutoka Mlowa mpaka Mvumi zitengenezwe kwa Lami, nataka nikuagize Mkuu wa Mkoa tumalizane hapa hapa, zege hailali, ndani ya miezi miwili mtangaze Tender kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha Lami”

https://www.youtube.com/watch?v=PTlizbY8UGM

https://www.youtube.com/watch?v=Jp21ETIIylI

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents