Promotion
Mkutano wa Wawekezaji wa kubangua Korosho uliodhaminiwa na NMB wafana
Baadhi ya wadau walioshiriki kongamana la wawekezaji wa zao la korosho wakimsikiliza Ofisa Uhusiano Kitengo cha Kilimo wa benki ya NMB, Nancy Asman (pili kushoto), walipotembelea banda la NMB
Baadhi ya wadau wa zao la Korosho wakiwa katika kongamano la wawekezaji wa zao la korosho lililofunguliwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal jijini Dar es Salaam
Meneja Mawasiliano wa NMB, Josephine Kulwa akizungumza na Mkurugenzi wa kampuni ya Bytrade Tanzania Bw. Harish Dhutia aliyehudhuria kongamanao la wawekezaji wa zao la korosho