Michezo

‘Never Give Up’ maneno ya Chirwa baada ya kuisaidia Yanga SC kuchomoza na ushindi dhidi Majimaji

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga SC wamefanikiwa kuchomoza na ushindi mujarabu wa mabao 4 – 1 dhidi ya Majimaji FC mchezo uliyopigwa jijini Dar es salaam.

 

Waliyoisaidia Yanga SC kuchomoza na ushindi dhidi ya Majimaji ni kiungo raia wa Congo, Pappy Kabamba aliyefunga mawili, Obrey Chirwa na Emmanuel Martin huku lile la Majimaji likifungwa na Marcel.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents