Muziki
New Music: Chemical f/ Barakah The Prince & Stamina – Hello
Rapper wa kike Bongo Chemical amechia ngoma yake mpya inayoitwa ‘Hello’ ambao amemshirikisha Barakah The Prince na Stamina. Wimbo umetayarishwa kwenye studio za Kili Records.
Rapper wa kike Bongo Chemical amechia ngoma yake mpya inayoitwa ‘Hello’ ambao amemshirikisha Barakah The Prince na Stamina. Wimbo umetayarishwa kwenye studio za Kili Records.