Michezo

Orodha ya majeruhi Yanga SC yatisha sasa wafika 11

Tatizo la majeruhi ndani ya klabu ya Yanga yazidi kuongezeka baada ya sasa kufikia 11 hali ambayo inatishia harakati za kuwania ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya daktari wa timu hiyio Edward Bavu amekiri kufikia 11 mpaka sasa.

Wachezaji wetu 11 bado ni majeruhi, ni wazi hawatakuwa sehemu ya mchezo wa kesho- Dr Bavu.
@yangasc VS @njombemjifcofficial
1.YOUTHE ROSTAND
2.JUMA ABDUL
3.HAJI MWINYI
4.ABDALLAH SHAIBU
5.ANDREW VICENT
6.PATO NGONYANI
7.YOHANA NKOMOLA
8.THABAN KAMUSOKO
9.HAMIS TAMBWE
10.DONALD NGOMA
11.IBRAHIM AJIB

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents