P Diddy awatoa Fabolous na French montana katika picha waliopiga na Jay Z, Kendrick Lamar na Nas
Mwaka jana, Diddy alimkata kendall na Kylie Jenner kwenye picha aliyotumia kwenye akaunti yake ya Instagram ikimuonyesha yeye na baadhi ya mastaa.
https://www.instagram.com/p/BTqC7rFhBbq/?utm_source=ig_embed
https://www.instagram.com/p/BTvEGMOjn_K/?utm_source=ig_embed
Amefanya hivyo tena mwaka huu na wakati huu Diddy hakuwa hata kwenye picha. Alituma picha kwenye akaunti yake ya Instagram mapema wiki hii ikiwaonyesha Jay Z, Kendrick Lamar na Nas na aliandika hivi “3 Kings! 3 Great Friends! Love youguys”.
https://www.instagram.com/p/BejuPCuD77K/?taken-by=diddy
Lakini iko hivi hiyo sio picha original.Diddy amemkata rapa Fabolous na akamphotoshop French Montana kwenye picha hiyo.
https://www.instagram.com/p/Bejs47-F8rZ/?taken-by=frenchmontana
Na Raheem Rajuu