Picha: Jose Chameleone alivyoibadilisha Beach Party ndani ya Escape 1, Dar es Salaam
Msanii wa Uganda Dr Jose Chameleone jana alifanya jana show kali ya beach party iliyofanyika Escape 1 jijini Dar es Salaam. Chameleone alipewa kampani na wasanii wa THT. Hizi ni baadhi ya picha za show hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Groupm Joseph Kusaga akisalimiana na Dr Jose Chameleone
Joseph Kusaga na Dr Chameleone
Waimbaji wa band ya THT, wakisindikiza show ya Dr Jose Chameleone
Mwimbaji wa band kutoka THT akifanya manjonjo
Shadee wa Clouds TV akifanya interview
Wapenzi wa burudani wakicheza muziki
Wapenzi wa burudani wakisubiria show kutoka kwa Chameleone ndani ya Escape1
Warembo wakitokelezea kwenye kamera ya bongo5
Chameleone aliitaji mrembo wa TZ ili acheze naye
Dr Chameleone akifanya show Escape1 jijini Dar es salaam
Evans Bukuku akiwa na Chameleone