Picha

Picha: Making the video ‘Dubu’ ya Shilole

Staa wa Movie na Muziki Tanzania Zuwena Mohamed aka “Shilole” anajiandaa kutoka na video ya songi lake linaloitwa ‘Dubu’ ambamo ndani yake ameshirikiana na Q-Chilla.

Kwa mujibu wa habari ambazo tumezipata, tayari kazi ya upigaji picha za video zimekamilika ambapo kampuni ya ‘Kwetu Studio’ ndio iliyohusika kusababisha.

Cheki baadhi ya picha za utengenezaji wa video hiyo.

photo credits: This is Diamond

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents