Picha

Picha: Muonekano mpya wa Bob Junior

Ni wiki kadhaa sasa Rais wa Masharobaro nchini Tanzania, Bob Junior yupo barani Ulaya katika ziara kwenye nchi mbalimbali akipiga mkwanja kama kawa. Akiwa huko amekuwa akipost picha mbalimbali za show zake na jinsi anavyokula bata.

531590_10151393519354962_1275671866_n

Weekend hii ameshare picha ya muonekano wake mpya wa nywele na mashabiki wengi wameonekana kuupenda.
Hitmaker huyo wa OYOYO ameandika kwenye picha hiyo, “New look rais wa masharobaro bado siku 3 nisheherekeeee siku yangu yaku zaliwa upya love u all.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents