Picha
Picha: Muonekano mpya wa Bob Junior
Ni wiki kadhaa sasa Rais wa Masharobaro nchini Tanzania, Bob Junior yupo barani Ulaya katika ziara kwenye nchi mbalimbali akipiga mkwanja kama kawa. Akiwa huko amekuwa akipost picha mbalimbali za show zake na jinsi anavyokula bata.
Weekend hii ameshare picha ya muonekano wake mpya wa nywele na mashabiki wengi wameonekana kuupenda.
Hitmaker huyo wa OYOYO ameandika kwenye picha hiyo, “New look rais wa masharobaro bado siku 3 nisheherekeeee siku yangu yaku zaliwa upya love u all.