Michezo

Picha: Prince William na mkewe Kate walivyopamba mbio za London Marathon

Wikiendi hii yalifanyika mashindano ya riadha ya London Marathon, ambako Mtanzania Alphonce Simbu aliibuka mshindi wa tano. Prince William na mkewe Catherine Elizabeth (Kate) ni baadhi ya wageni waliohudhuria katika mashindano hayo.

Katika mbio hizo Daniel Wanjiru kutoka Kenya aliibuka mshindi wa kwanza kwa upande wa wanaume baada ya kukimbia kwa muda wa masaa 2:05:48 na upande wa wanawake Mary Keitany naye kutoka Kenya alishinda baada ya kukimbia kwa muda wa masaa 2.17.01.

Hizi ni baadhi ya picha za Prince William na mkewe Kate Middleton katika mashindano hayo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents