Picha: Rais Kikwete afunga semina ya fursa awamu ya kwanza Dar
Rais Jakaya Kitwete leo alikuwa mgeni rasmi kwenye ufungaji wa semina ya fursa kwa awamu ya kwanza, iliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es salaam.
Rais Kikwete akizungumza na wananchi waliojitokeza kwenye ufungaji wa semina ya fursa awamu ya kwanza
a href=”http://bongo5.com/wp-content/uploads/2013/11/Mwimbaji-wa-mashairi-nchini-Mrisho-Mpoto-akisalimiana-na-Dr-Jakaya-Kikwete..jpg”>
Mrisho Mpoto akisalimiana na Rais Jakaya Kikwete
Rais Kikwete amelipongeza jopo zima lililoshiriki kuandaa semina za fursa nchini kwa kuwahamasisha Watanzania kufanya shughuli za kilimo na kujiajiri, huku akiwataka Watanzania kujikita zaidi kwenye kilimo kwakuwa ndio sehemu inayoweza kuajiri Watanzania kwa wingi.
Semina ya fursa imezunguka katika mikoa 17 kwa nia ya kuwafungua Watanzania na kuonyesha fursa zinazopatikana katika maeneo waliopo. Awamu ya pili itaonyesha kwa vitendo jinsi ya kuzitumia fursa hizo.
Mkuu wa Wilaya ya Iramba Nawanda Yahaya
Diamond Platnumz alikuwepo pia kushuhudia ufungaji wa semina hiyo
Diamond akipeana mkono na January Makamba
Nick wa pili akiongea katika semina ya fursa
Wakazi wa jiji la Dar es salaam walijitokeza kwenye semina ya fursa
Wakazi wa jijini la Dar es salaam wakifuatilia semina ya fursa
Watanzania waliojitokeza katika semina ya fursa
Rais Kikwete akiteta jambo na mtangazaji wa Clouds FM, Shaffii Dauda
Joseph Kusaga akiteta jambo na Rais Kikwete
Kulia ni mmoja wa waanzilishi wa mtandao wa Jamii Forums
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba akizungumza na wakazi wa jiji la Dar es salaam
Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga akizungumza kwenye semina hiyo
ref=”http://bongo5.com/wp-content/uploads/2013/11/Mkuu-wa-wilaya-wa-chamwino-Fatuma-Ally.jpg”>
Mkuu wa wilaya wa Chamwino, Dodoma Fatuma Ally
Mkuu wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Elibariki Kingu
Dr Jakaya Kikwete akiwa na January Makamba
Rais Kikwete akipanda katika meza kuu punde baada ya kuwasili ukumbini
Rias Kitwete akiwa katika picha ya pamoja na waandaji na wasemaji wakuu wa semina hiyo ambayo kwa awamu ya kwanza imeitimishwa leo
Dr Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na Nick ya Pili baada ya kumaliza kufunga kwa awamu ya kwanza ya semina ya fursa iliyofanyika katika ukumbi Diamond Jubilee Jijini Dar es salaam
Rais Kikwete akielekea kupanda gari baada ya kumalizika semina ya fursa
Tafakari kauli ya msanii Chege katika picha