Michezo
Picha: Robin van Persie atua Uturuki kujiunga na klabu ya Fenerbache
Hatimaye maisha Mshambuliaji Robin van Persie ndani ya klabu ya Manchester United yamekwisha baada ya kutua Uturuki kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na klabu ya Fenerbache ambapo ataungana na Luis Nani.
Akilakiwa na halaiki ya mashabiki wa Fenerbache
Van Persie mwenye umri wa miaka 31 alionekana akitabasamu muda wote na mwenye furaha alipotua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Sabhia Gokcen jijini Istanbul siku ya Jumapili mchana.
Mashabiki wa Fenerbache wakifurahia
RVP akiwa na familia yake
Robin van Persie atakuwa analipwa pauni 240,000 kwa wiki