Michezo
Rais wa TFF, Wallace Karia afanya uteuzi wa kamati ya tuzo
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ‘TFF’, Wallace Karia ameteua Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu Bara ambayo itakuwa inachagua wachezaji bora wa mwezi, bao bora, mwamuzi bora, kocha, kipa bora na mchezaji bora wa msimu.
Kamati ya Karia aliyoiteuliwa ni kama ifuatayo
MWENYEKITI
Msafiri Mgoyi
Makamu Mwenyekiti
Almas Kasongo
KATIBU MKUU
Amiri Mhando
WAJUMBE
Saleh Ally
Patrick Kahemele
Kenny Mwaisabula
Ibrahim Masoud
Fatma Likwata
Gift Macha
Said George
Zena Chande