Michezo
Simba yarudi kwa mafungu Djibouti (+video)
Kikosi cha klabu ya Simba kimerejea alfajiri ya kuamkia leo kikitokea Djibouti katika michuano ya Kombe la Shirikisho ambapo ilichomoza na ushindi wa bao1 – 0, Simba imetua katika uwanja wa kimataifa wa JK Nyerere huku kikionekana kuwa na kutokuelewana na waandishi kushuhudia timu hiyo ikirejea kwa mafungu.