MichezoUncategorized

Simba yaweka hadharani kikosi chake dhidi ya Stand United leo

Vinara wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Simba majina ya wachezaji wake ambao watacheza katika mchezo wao wa leo wa ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Stand United.

Simba imewataja wachezaji wake akiwemo Aishi Manula, Shomari Kapombe, Asante Kwasi, Yusufu Mlipili, James Kotei, Erasto Nyoni, Jonas Mkude, Mzamiru Yassin, Laudit Mavugo, Shiza Kichuya na Nicholas Gyan.

Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Mohamed Hussen, Rashid Juma, Moses Kitandu, Juma Luizio, Juuko Murshid na Mwinyi Kazimoto.

Mchezo huo utachezwa majira ya saa 10 Alasiri katika uwanja Mkuu wa Taifa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents