Michezo

”Sio timu ya kubeza/ ndiyo maana Mwinyi Zahera akasema tunakwenda kupambana nao” – Nugaz (+video) 

Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Antonio Nugaz amesema kuwa timu ya Pyramid ambao ni wapinzani wao watakao ambao wanatarajia kucheza nao tarehe 27 ya mwezi huu jijini Mwanza katika michuano ya kombe la Shiriko, sio wa kubezwa hata kidogo hasa kutokana na uwekezaji waliyofanya hivyo wana kilasababu ya kujipanga vizuri kuhakikisha wanachomoza na pointi tatu muhimu katika Uwanja wa nyumbani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents