Michezo

Snoop Dogg kuja na albamu ya injili

Snoop Dogg ameushangaza ulimwengu kwa kuahidi albamu yake inayofuata itakuwa ya nyimbo za injili.

Akiongea katika kipindi cha The Pharmacy, rapper huyo amesema, “I’m working on a gospel album. It’s always been on my heart. I just never got around to it because I always be doing gangsta business or doing this or doing that. I just felt like it’s been on my heart too long. I need to do it now.”

Snoop amelitaja jina la albamu yake hiyo ya 16 itaitwa ‘Neva Left’.

April 17 ya mwaka jana msanii huyo alianza kuonyesha kuvutiwa na muziki huo baada ya kuandika katika mtandao wake wa Instagram, “Silver n gold. @dashradio Cadillac music Sunday gospel mix.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents