Michezo

TFF yashitukia mchezo mchafu wa upangaji matokeo FDL

Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kidao Wilfred amezitahadharisha timu za Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL) kuwa makini na aina yoyote ile ya upangaji wa matokeo wakati huu Ligi inafikia ukingoni huku kukiwa na mvutano mkubwa wa kuitafuta nafasi ya kupanda daraja katika makundi yote matatu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents