Michezo
The Tanzanite yakabidhiwa bendera tayari kuelekea Nigeria
Timu ya Taifa ya Wasichana U20 ‘ The Tanzanite’ wamekabidhiwa Bendera ya Taifa leo na Mkurugenzi wa Michezo, Yusuph Singo ambapo watakwenda Nigeria kuwania nafasi ya kucheza Kombe la Dunia mwaka 2018.