Michezo

Tumefunga dirisha la usajili – Jaffar Idd

Uongozi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umesema kuwa kwa sasa hautasajili wachezaji wengine ndani ya kikosi hicho baada ya kumalizana na Mghana, Bernard Arthur aliyesaini mkataba wa miaka miwili.


Msemaji wa klabu hiyo, Jaffar Idd amesema: “Kwa sasa nTumefunga usajili kwenye kikosi chetu hatutasajili mchezaji mwingine nafasi zimeja.”

“Tumemuongeza mkataba kiungo wetu, Steven Kingue Mpondo raia wa Cameroon.”

Dirisha la usajili lilifunguliwa Novemba 15 na kutarajiwa kufungwa mwezi ujao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents