Michezo
Uchambuzi Simba vs Mtibwa: Bocco, Morrison na Kagere Mtibwa wajipange (+Video)
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Simba SC kesho siku ya Jumamosi ya tarehe 12 Septemba watashuka katika dimba la Jamhuri kuwakabili Mtibwa Sugar ikiwa ni muendelezo wa Ligi Kuu.