Michezo
UCHAMBUZI: Yanga hawapo vizuri hatakama wameshinda, lazima wabadilike (+Video)
Mara baada ya timu ya Wananchi Young Africans kuibuka na ushindi wa goli 1-0 mbele ya Mbeya City, mchambuzi wa mchezo wa soka Abbas Pira amesema kuwa Striker wa Yanga hawajiamini licha ya ushindi huo wanapaswa kubadilika