Michezo

Unalipa jina gani goli la Mukoko dhidi ya Mlandege ?, Abbas Pira anamchambua Mkongo huyu 

Mchezaji anayekuja kwa kasi na anayetarajiwa kufanya makubwa kunako Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Mukoko Tonombe hapo jana aliifungia timu yake @yangasc moja kati ya magoli mazuri kuwahi kushuhudiwa kwa wachezaji waliyosajiliwa dirisha hili.

@abbas__pira anazungumziaje kiwango cha kijana huyu wa Wananchi #yangasc ?

https://www.instagram.com/p/CFOmofuAiwP/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents