Michezo
Unalipa jina gani goli la Mukoko dhidi ya Mlandege ?, Abbas Pira anamchambua Mkongo huyu
Mchezaji anayekuja kwa kasi na anayetarajiwa kufanya makubwa kunako Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Mukoko Tonombe hapo jana aliifungia timu yake @yangasc moja kati ya magoli mazuri kuwahi kushuhudiwa kwa wachezaji waliyosajiliwa dirisha hili.
@abbas__pira anazungumziaje kiwango cha kijana huyu wa Wananchi #yangasc ?
https://www.instagram.com/p/CFOmofuAiwP/