Michezo
Video: Donald Ngoma kurejea rasmi ndani ya kikosi cha Yanga SC
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga raia wa Zimbabwe, Donald Dombo Ngoma amepona majeraha yake yaliyokuwa yakimsumbua na yupo tayari kurejea katika kikosi cha timu hiyo siku ya Alhamisi ya wiki hii.