Michezo
Video: Kuna dhana potofu TFF ichukue hatua kwa Al – Masry – Manara
Ofisa habari wa Simba SC, Haji Manara aguswa na mazingira potofu ya liyofanywa na klabu ya Al-Masry baada ya kuzuia waandishi kuchukua habari wakati wa mazoezi yao hapo jana siku ya Jumatatu.