Michezo
Video: Samatta afunguka kutajwa kwenye tafiti ya vijana 100 wenye ushawishi zaidi barani Afrika
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta kwa mara ya kwanza amefunguka juu ya kutajwa na taasisi inayojishughulisha na tafiti mbalimbali zinazo husu vijana wenye ushawishi zaidi walio chini ya miaka 40 barani Afrika ya The Africa Youth Awards, wakatio kwenye orodha ya majina ya vijana 100 ya vijana wenye ushawishi kutoka kwenye mataifa 26 barani Afrika kwa mwaka 2018, na Tanzania ikiwemo.