Michezo
Video: Sio siri tena kiuchumi tumeyumba, tuna hali mbaya – Yanga
Klabu ya Yanga kupititia kwa mwenyekiti wake wa matawi, Bakili Makele wameililia Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF kuacha kukata madeni yao wanayo wadai kwakuwa kwa sasa wameyumba kiuchumi na wao ndiyo wawakilishi pekee wa michuano ya kimataifa.