Michezo

Wachezaji, kocha wa kigeni vibali vya kazi vyatakiwa kuwasilishwa Uhamiaji

Klabu zote nchini ambazo zimeajiri wachezaji na makocha wa kigeni zimetakiwa kuwasilisha orodha ya Waajiri hao pamoja na vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini katika Idara ya Uhamiaji klaba ya kuanza mashindano ya msimu huu.

TFF – Tanzania Football Federation

Hivyo, klabu za Mkoa wa Dar Es Salaam zinatakiwa kuwasilisha taarifa hizo ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji iliyoko Kurasini, wakati nyingine ziwasilishe ofisi za Uhamiaji za mikoa yao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents