Waitara azindua mashindano ya golf kwa wanawake Lugalo
(Raisi wa Gofu wanawake Tanzania Mbonile Borton, Jenerali mstaafu George Waitara na Edward Ndolwa) Chama cha Gofu wanawake Tanzania Leo jumanne wameanza mashindano ya mchezo huyo katika viwanja vya Lugalo, huku ikikutanisha timu nne kutoka Tanzania, Kenya, Uganda na Zambia.
Watakao anza kwenye michuano hiyo ni
Mgeni rasmi wa wa ufumbuzi huo George Waitara, na ndiyo mwaajilishi wa viwanja hivyi mwaka 2005, vyenye mashimo kumi na nae ni cha pili baada ya Gym khana ya Posta mpya.
Hapa ilikuwa ni picha ya pamoja.
Timu ya Gofu wanawake Zambia, ikifungua bendera ambayo ilifungwa vibaya kichwa chini miguu juu, ilikuipandisha wakati wa utambulisho wa timu yao.
Timu ya Gofu ya Uganda nao walipandisha bendera yao, kwaajili ya kutambulisha timu yao na nchi yao katika michuano hiyo.
Tanzania nayo ilipandisha bendera yake, ambayo ilipepea vizuri kuashiriria ‘the Best is Coming’, mimi nikiwa mmoja wapo ninayoiombea ushindi timu yetu ya Tanzania katika michuano hiyo.
Bendera ya Kenya nayo ilipepea kuashiria timu ya Gofu ya Kenya.
Mashabiki wakiangalia, uzinduzi huo.