50 Cent akumbushia jinsi Beyonce alivyotaka kumshambulia kumlinda mumewe Jay Z
50 Cent amedai kuwa almanusura Beyoncé Knowles amshambulie kwa ngumi na mateke baada ya rapper huy kuingia kwenye majibizano na mumewe, Jay Z.
50 alikuwa akiongea na kipindi cha ‘The Breakfast Club’ cha kituo cha redio cha jijini New York, Power 105.1 na alisema yote hayo yalitokea jijini Las Vegas. ”One time [Beyoncé] jumped off of a ledge and came running over cause she thought me and Jay had issues. And I’m like, ‘What the f**k? Did she really just jump and run up on me like that?’ And I’m like, ‘What the f**k? Did she really just jump and run up on me like that?,” alisema.
Alisema Beyonce alidhani majibizano ya 50 na Jay Z yangewafanya wapigane japo haikuwa hivyo.
“She jumped out and I was like this, ‘What?! That Bonnie and Clyde for real! You try this or what, boy?! I’m here!’ She bugged out at me. I looked and Jay starts laughing. He’s like, ‘Yo, you know what it is.’ ”