Michezo
RASMI: Simba SC Vs Kaizer Chiefs hatua ya Robo Fainali CAF Champions League
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Simba SC wapengwa na Kaizer Chiefs kwenye hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya droo kufanyika hivi punde jijini Cairo nchini Misri.