Burudani
Alikiba: Sijawahi kuimba nyimbo yenye uongo kama hii, Namkubali Hamadai
Baada ya kushirikishwa na Hamadai kwenye ngoma ya #Niamini Alikiba ameweka wazi kuwa hajawahi kuimba nyimbo yenye uongo kama hiyo.
Kupitia Instagram yake Alikiba ameandika kuwa: “Sijawahi kuimba nyimbo yenye uongo mwingi kama hii aisee
Ila bila uongo pia mapenzi hayaendi vizuri
That’s why nilimuomba @hamadaitz_ tufanye hii kwasababu namkubali sana na Wimbo ni mzuri sana pia producer @aloneym1 katisha sana
#SupportedByKiba
#KingKiba