Burudani
Diamond: Nawaza kitu gani kibaya kilifanyika pale kanisani, walivaa vimini ? hapana
Baada ya Zuchu kutoa malalamiko yake kutokana na ngoma yao na Diamond ya “Mtasubiri kufungiwa na TCRA kupigwa kwenye television, chini ya post hiyo alikuja Diamond Platnumz ambaye ndio mwenye wimbo na kuandika ujumbe huu. (swippe) kuusoma ujumbe huo.#Bongo5Updates