Michezo

Alikiba: #TeamSamatta wana bahati sana kupata sare na #Teamkiba

Baada ya mtanange wa kukata na shoka kati ya @officialalikiba na @samagoal77 kufanyika mkoani Iringa siku ya jana na Matokeo kuwa sare ya kufungana goli 1-1 yaani #Teamkiba 1-1 #TeamSamatta

Hiki ndio alichoandika @officialalikiba This time wametokea kwenye tundu la sindano @samakibafoundation
HONGERENI kwa kutupa challenge kidogo
#KingKiba”

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents