Michezo
Audio: Nimekimbilia Bagamoyo, ni aibu – Mzee Akilimali baada ya kipigo cha Simba
Katibu wa baraza la wazee la klabu ya Yanga, Mzee Akilimali amesema kuwa kipigo alichopata kwenye mchezo wajana dhidi ya hasimu wake Simba kimemfanya ahame mji na kukimbilia Mkoa pwani, Kibaha hadi hapo hali itakapo kuwa shwari.