Burudani

Fid Q ateuliwa na Chama cha Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania (TUMA)

Msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Fid Q ameteuliwa na Chama cha Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania (TUMA) kuwa mwenyekiti wa kamati ya fedha, mipango na uchumi.


Baada ya uteuzi huo Fid Q amesema; ‘Ni matumaini yangu tutaenda mkono kwa mkono kama majukumu na fursa,”.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents