Burudani
BBC waanzisha tuzo za muziki, BBC Music Awards
Shirika la habari la Uingereza la BBC, limeanzisha tuzo za kila mwaka za muziki, BBC Music Awards.
Chris Evans na Fearne Cotton watakuwa hosts wa BBC Music Awards
Tuzo hizo zitafanyika December 11 jijini London. Jopo la watangazaji na watayarishaji wa BBC watakakaa kuangalia wasanii bora wa Uingereza na wa kimataifa huku watazamaji na wasikilizaji wakichagua wimbo wa mwaka.