Burudani
Bongo Star Search 2010 yanukia
Shindano la kumtafuta Bongo Star Search 2010 limetangwazwa rasmi kuanza na usaili kwa mwaka huu wa 2010 utaanza mkoani Arusha.
Tarehe 17-18th July itakua pale Impala Hotel Arusha.
Tarehe 24-25th July Itakua Dodoma Rock Hotel.
30-31st July Itakua Villa Park Resort Mwanza.
Tarehe 10-12th August itakua Coco Beach Dar Es Salaam.
Kama wewe unaona una kipaji na unataka kuwa star usisite kujitokeza siku na tarehe ambazo zimeandikwa hapo na ukajiandikisha.