Habari
Deni la Taifa laongezeka – CAG Charles Kichere
“Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2023 deni la serikali lilikuwa Trilioni 82.25 sawa na ongezeko la asilimia 15 kutoka mwaka 2021/2022 na deni hili bado ni himilivu” – CAG Charles Kichere
Imeandikwa na Mbanga B.