Diamond Platnumz

Diamond Platnumz athibitisha collabo yake na G Nako, Mashine yetu ikitoka watatapika

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa WCB n Wasafi media kwa ujumla Diamond Platnumz amethibitisha kuwa na collabo na G Nako kutoka kundi la Weusi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amethibitisha hilo baada ya G Nako kuweka Comment yake kwenye Post ya Diamond ambayo alipost show yake ya Malawi ambapo watu waliohudhuria walikuwa wakiitikia ngoma za Diamond kwa Kiswahili na G Nako aliandika kuwa:

“Malawi wanamwagika Kiswahili tupo vizuri”

Baada ya muda Diamond aliirudia Cooment hiyo ya G Nako n akujibu kuwa

“Nawaza ile mashine yetu ikitoka watakavyotapika huku”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents