Michezo

Eric Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili

Mchezaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ivory Coast, Eric Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kuumia goti.

39b55ac500000578-3871578-eric_bailly_took_to_instagram_on_tuesday_thanking_everyone_for_s-a-2_1477413572208

Hili ni pigo kwa Jose Mourinho ambaye Bailly amekuwa ni beki tegemezi katika kikosi chake cha United.

39a397fd00000578-0-image-a-97_1477411565077

Bailly atakapo rejea uwanjani baada ya miezi hiyo miwili, huenda akaenda kujiunga na timu yake ya taifa katika michuano ya AFCON.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents