Burudani
EXCLUSIVE: Diva afunguka ishu ya kuomba msaada wa mil. 15 kwa Watanzania, adai atanunua sperms hata za Neymar, akiri kuumizwa na Zamaradi na Mobetto (+video)
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amefunguka A-Z ishu yake ya kuomba msaada wa milioni 15, amzungumzia Hamisa Mobetto na Zamaradi Mketema pamoja na kununua mbegu za kiume za Wabongo.
mbn unajisifiaga una pesa ad unaoa vjana
Huyu diva huyu c anahela huyu???
Kumbe huyu ndo diva the bowse lady jaman nilidhan ni ila bas bhana maana daaaah.
Mmmh njoo nikupe zipo nauza ila utazaa mchina
Nonsense
Chiz huyooo
Kingera chooote na kuongea kwa jeuri kwenye kipindi cha Allah za roho huna lolote.
REEKEBISHA ilo neno ni Ala sio Allah
we sungura wivu tu
🙏
Huyu dada anazidi kuchanganyikiwa kila kukicha inabid amrudie Mungu wake haraka
Yeye akitaka akanunue hata za messi ila kwa pesa yake sio michango mm nasemaga huyu dada kicha hamuamini yani unawaza kununua nemar akupe mbegu kwa pesa za michango
Si aje nimpe bureee kwa raha zangu jamani
Apambane na hali yake aje sumbawanga zinapatikana bure km unataka za Neymar atapata tabu sana
Bungu zeni bangi watu wa tz
C alirudishaga mahari hyu yaan we Kaka uliyerudishiwa mahar una Mung maana ona ungeoa matatizo Jamanii kila kitu kimepanga na mung ukiona boy Au dem wako amekupga chin uclaumu Sana Mung kakuepusha na malaana
tatizo lako unawafananishq na watu wanjee sana
KUMBE SHIDA YAKE NI SPERM ZA NJE…HAKI YA ALLAH HATA SENT SITOI…
😁😁😁Malizia tu brother usione hatar
😔
Kuma mamake uyo umbwa
Daaah! Ukistajab ya Mussa utaona ya Neema
Kumbe huyu dada Chizi!! Kwa hiyo anataka akanunue sperms za Neymar kwa pesa za kuomba!! Na kama tatizo ni Sperms si atafute za mtu yeyote tu ambaye yuko tiyar kujitolea!!
Nc ur speech. Ila kuhusu kupandikizwa ungefanya siri. Wabongo wana maneno machafu sana au waafrika NA hata baadhi ya wazungu pia . WANGAPI HUPANDIKIZWA LAKINI HUFANYA SIRI. ILITAKIWA PUUUH””” TAYARI TUNAKUONA NA MIMBA NA MWENYE MIMBA AU MTOTO UNGEJUA WW NA UR BOYFRIEND. I THINK..INGEKUWA NICE. NARUDIA WABONGO WATAMPA WAKATI MGUMU SANA HUYO MTOTO WA KUPANDIKIZWA SPERMS. IWE WA NEIYMAR AU 2PAC au Hitler NA Iddi amini . yeah””” c sperms . inawezekana. Kwa sababu jamaa wana mbegu mpaka za marehemu. Ndio msikatae””” So najaribu kuufikiria ujio WA huyu MTT. Naona km Atapata tabu sana ingawa atapata malezi mazuri from mama yake.
Nazidi kujiridhisha kwamba huyu dada ana matatizo. Anahitajika mtaalamu wa psychology amsaidie na sio msaada wa watanzania wa mil 15, hizo mil 15 atachangiwa, atakwrnda kununua sperm za Neymar lakini matatizo yatabaki palepale ila kama atatafutwa psychologist na kumsaidia itakuwa tiba kwake. Na hiyo yote inatokana na kujifanya matawi ya juu, unatongozwa na wanaume lakini unajifanya matawi ya juu unawakataa, hayo ni mafuta na ashki zinamsumbua hakuna kingine. Yale mambo ukiyakosa kwa muda mrefu unakuwa kama chizi, waulize ambao wamechelewa kuoa au kuolewa na kuwa single kwa muda mrefu watakwambia. Ile kitu lazima uipate haijalishi ya tajiri au masikini, wadada muache dharau
Ukitaka asali bila tahadhari matokeo ni hatari! Off-coz hakuna jipya chini ya jua! Diva kutaka mtoto ni jambo zuri ila ingekuwa vzr akampata mume wakafunga ndoa,ili ktk mpango wake wawe wote! Some time so kwamba hela itakufanyia kila kitu. Dunia ni mapito! Kupata na kukosa yote ni majaliwa.
Omar Al-hadhar hebu tuambie haya maneno ni yakweli 😂
Soud brown amshughulikie rafki yake, awe ana mbanjua banjua japo kidogo naamini atakaa sawa
Hata code hazipandi vizuri ukikosa kwa muda mrefu yale mambo… Eeeh!!!
Mimi zangu natoa free aje ajeee
Kwaiyo Mtu staa lakini anakosa milioni 15 zakitanzania? Kwani kwenye akaunti yake kunakiasi gani? Kweli bongo kumejaa mastaa njaa.
We chiz atoi MTU pexa yake akipe we pumbavu nenda mbele huko💪💪💪
Huyooooh chizi saana tumzomeyeni hana hakili kabisa
Rakini flesh tuu si anamtaka neymar na umbwa wangu anaitwa neymar sio mbegu nitampa aende naye tena bule
Umerogwa naona sio bure alokuroga kafa
Akome , anunue za dingi take atapunguziwa bei.
Bangi sio nzuri, jumlisha na wazo la mahari ya milioni 500,haaahaaa asubiri aolewe kwa milioni 500 akanunue sperms za malaika nyau kweli huyu
Kumbe anao uwezo was kununua mbegu za neymar akapandikizwa akapata mtoto sasa hiyo michango anaitaka yakaz gan pesa yng km haina kaz si bora nipeleke kanisan,alaf anajiita boss lady sasa boss lady nakuchangishana tena wapi na wapi
Jinga kabisa sio apewe ya mtz bure
Point
Huyu demu dishi limecheza nadhani
Uyu chizi2😠😠😠😠
Anunue za chidy Benz
Kuna kipindi alidai anaetaka kumwoa aje na mahari m500 sasa kiko wp#sifazakijinga
Peleka ujinga kwenu wewe diva
Huyu binti alisema mahari yake haitopungua million 500, kumbe hata danga la kumuhonga million 15 hana 😂😂😂😂😂
Atakufa na ndoto za kijinga.. shida Ana fake hadi mawazo yake.😚😂😂😂 Waarabu na pesa zao hawatoi mahari ya 500milion alafu diva anatak hizo.. tunakoelekea tutasikia anaishi na mtu n mimba juu kajipeleka mwenyewe
Ajibebe
Kwani Tanzania amna wanaume Mbka apewe Spmer za Neyma hizi Dharau sana kwa hyu Dada ni offical Sana nnn”Mwaka Wa Roho mbaya huu Jibebe
Anakichaa huyo pimbi ma sperm kibao huku akanunue m 15 shee
Lol. Inamaana jux hana mambo
😂😂😂😂 aje nimpe bure
😀😀😀😀 mil15 hana alafu anataka mahali ya million 500 kumamae
Huyo hajakosa ana wanaume kibao tu huyo malaya tu kama malaya wengine
Ukisikia ndugu yako afya ya akili inayumba ndio mambo kama haya… Neymar!
no signo
Sure
Hii ni upuzi mtupuamekosa kazi!!mjinga sana yeye
kwahiyo tumchangie akanunue sparm
Mwambien anikute mjini iringa nanazo za mbwa wangu apa
Sasa mil 15 Hana alafu yaknunua spam ZA neyma anatoa wap huu ni usenge apambane na Hali yake
nani ataoa matatizo hayo?!
Za neymar wa nyau
maninaaaa…! 😂😂😂 Hili linalomfaa! Hahaha #Joyce umeuaaa😃
Milioni Mia tanooo halafu huzai chefuuuuuuuuu
Mbwa huyo kununua yeye zann c akatombane mbele hatapata tena bule
Kama anaweza panga nyumba ya mil mbili kwa mwezi iweje hiyo imshinde
Nan ss wa kuchukua mzigo(matatizo)
Mdangaji tu
Anatafuta kiki
Pumbaff zake, yaani mi dume zima nimchangie mwanamke akanunue sperms za dume jingine….kenge kabisa huyu
Si alisema mahari yake milioni mia tano kakosa mchumba wa hivyo na hizo pesa jamani
Hahahaa
Hahaaa
Umeonaeee
Ajakosa uyo sema anatengeneza kiki
Iyo sura ya milioni mia tano veeep
😂😂😂😂😂😂
kalisah mwenyewe anauza sperm
Njoo mbeya huku tumesimama sio hao wanaume wa dar! hao ni chips ketch -up
Umeona mshenzi sana huyu yaani sisi tumchangie hela akanunue mbegu za neyma mshenzi mkubwa huyu
Mwambie aje,aje kwangu akishindwa kupata basi jua yeye ndo mwenye matatizo
Nakugawa bure sasa😂😂😂😂😂
Sasa unafikiri atapataje msaada!?
Hahahahaaaa. Haya.
Linah Kiwia , yaani sirudiagi mara mbili mbili
Walter Kimaro Wageki acha bhana. Kuna best anguamehangaika miaka ntamwagizia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bwege kweli